Ungana nasi kwa kuandika email yako hapa ili upate habari mpya kupitia email yako bila usumbufu:


Home » » VIONGOZI WA CHADEMA NA WANANCHI WA ARUSHA WAMEACHIWA KWA DHAMANA.....POLISI YAMTAKA MBOWE APELEKE USHAHIDI KWA RAIS KIKWETE

VIONGOZI WA CHADEMA NA WANANCHI WA ARUSHA WAMEACHIWA KWA DHAMANA.....POLISI YAMTAKA MBOWE APELEKE USHAHIDI KWA RAIS KIKWETE

tangazo

Jeshi la polisi nchini limewaachilia kwa dhamana viongozi wa Chadema na wananchi wote waliokuwa wanashikiliwa na limemtaka mwenyekiti wa Chadema Mh. Freeman Mbowe kuwasilisha ushahidi wa mtu aliyelipua bomu kwenye mkutano kwa Mh. Rais kama hana imani na jeshi la polisi.

(VIDEO: ITV)
TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DOMO LANGU - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger