Ungana nasi kwa kuandika email yako hapa ili upate habari mpya kupitia email yako bila usumbufu:


Home » , » AUNT EZEKIEL AMTOSA MUMEWE

AUNT EZEKIEL AMTOSA MUMEWE

tangazo
Wengi  walitegemea  kuwa  Aunt  Ezekiel ataungana  na  mumewe Sunday  katika  kipindi  hiki  cha  mwezi  mtukufu wa Ramadhani  lakini  hali  imekuwa  ni  tofauti....

Aunt  anayetumia  jina  la  Rahma  baada  ya  kubadili  dini  ili  aolewe  na  mwanaume  huyo,   amemtosa  mkaka  huyo  na  kuendelea  kula  bata  nchini  huku  akidai  kuwa  mumewe  hana  mengi.

"Sina  mpango  wowote  wa  kuondoka  nchini  kumfuata  mwanaume.Yeye  ni  mume  wangu, ntamkuta  tu  hata  nikienda  mwakani.

"Kwanza  mume  wangu  hana  mengi  na  si  mkorofi  na  anajua  wazi  kwamba  sipendi  kubanwa.Kwa  sasa  nina  mambo  mengi  likiwemo  hili  la  kuisambaza  filamu  yangu  mpya  ya  Scola  mwezi  ujao"...Alisema  aunt  Ezekiel
TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DOMO LANGU - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger