CCM YAFUKUZA MADIWANI 8 WA MANISPAA YA BUKOBA
tangazo
Chama
Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Kagera, leo kimewafukuza madiwani 8 wa
Manispaa ya Bukoba kupitia chama hicho na kufutwa nyadhifa zao za
udiwani kutokana na mgogoro uliokuwa ukiendelea
Waliofukuzwa ni:
- Richard Gaspar (Miembeni )
- Murungi Kichwabuta (Viti maalum)
- Alexander Ngalinda ambaye pia ni Naibu Meya (Buhembe)
- Yusuf Ngaiza ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM wa wilaya (Kashai)
- Deusdedit Mutakyahwa (Nyanga)
- Robert Katunzi (Hamugembe)
- Samwel Ruhangisa (Kitendaguro) na
- Dauda Kalumuna (Ijuganyondo)
TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK