Ungana nasi kwa kuandika email yako hapa ili upate habari mpya kupitia email yako bila usumbufu:


Home » » Picha za kikatili za mwanamke aliyeuawa kwa kutobolewa KOROMEO

Picha za kikatili za mwanamke aliyeuawa kwa kutobolewa KOROMEO

tangazo

Mrembo Yusta Mkali, mkazi wa Kawe, Dar ambaye alikuwa mke wa mtu anadaiwa kuuawa kwa kutobolewa koromeo na mumewe, Musa Senkando na kusababisha simulizi ya kutoa machozi kisa kikielezwa kuwa ni wivu wa kimapenzi.

Polisi wa kituo cha Kawe wakiukagua mwili wa marehemu Yusta.
Mtuhumiwa wa mauaji, Musa Senkando.
Mwili wa marehemu Yusta ukipelekwa kuhifadhiwa katika Hospitali ya Mwananyamala.
Marehemu Yusta Mkali enzi za uhai wake.


Wakazi wa Kawe wakiwa na simanzi wakati mwili wa marehemu ukipelekwa hospitali.



“Huu ni unyama wa ajabu sana. Haya mapenzi ni ya kuyatazama sana. Ona sasa mwanaume amemuua mkewe. Inauma sana,” alisema mama Jack ambaye ni jirani wa familia hiyo.


Mtoto wa marehemu aitwaye Baraka Simon akiaga mwili wa mama yake kwa simanzi jana.


Ilikuwa ni simanzi na majonzi wakati wa kuaga mwili wa marehemu Yusta, jana katika Hospitali ya Mwananyamala jijini Dar kabla ya kuusafirisha kwenda mkoani Dodoma kwa mazishi
TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DOMO LANGU - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger