Ungana nasi kwa kuandika email yako hapa ili upate habari mpya kupitia email yako bila usumbufu:


Home » » Picha za mazishi ya msanii NYAWANA FUNDIKIRA katika makaburi ya Itetemya mkoani Tabora.

Picha za mazishi ya msanii NYAWANA FUNDIKIRA katika makaburi ya Itetemya mkoani Tabora.

tangazo
Vilio vimetawala ulipo msiba wa Nyawana Fundikira, maeneo ya Gongoni, Tabora mjini wakati wa  mazishi  ya    mwili wa  msanii  huyo  ambaye  alikuwa  ni  mwimbaji na mtangazaji wa kipindi cha taarab ‘Ambaa na Mwambao’ kinachorushwa na Passion Fm..

Nyawana alifariki juzi baada ya kusumbuliwa kwa muda mfupi na malaria na upungufu wa damu  ambapo ameacha mjane na watoto wawili.

 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
PICHA  na  aloyson.com
TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DOMO LANGU - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger