Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi mkoa wa Mwanza na Diwani wa Kata ya Kisesa (CCM), Clement Mabina (56), amezikwa mchana huu shambani kwake Kanyamati, Kisesa mkoani Mwanza.
Mazishi hayo
yamehudhuriwa na Waziri wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, Waziri wa Nchi
Ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu), Stephen Wasira, viongozi wa
serikali, madhehebu ya dini, vyama vya siasa, wananchi na wakazi wa
Kisesa ambao wameungana na ndugu, jamaa na marafiki kumsindikiza
marehemu Mabina.
tangazo