Ungana nasi kwa kuandika email yako hapa ili upate habari mpya kupitia email yako bila usumbufu:


Home » , » AMANDA NA DOTNATA WAWAFARIJI LULU NA KAJALA

AMANDA NA DOTNATA WAWAFARIJI LULU NA KAJALA

tangazo

MWIGIZAJI wa sinema za Kibongo Tamrina Poshi ‘Amanda’ amefarijika kuona hali nzuri walizonazo mastaa wenzao walioko Segerea, Elizabeth Michael ‘Lulu’ na Kajala Masanja.


Taarifa tulizozipata  zinasema, Jumamosi iliyopita Amanda na mwigizaji Husna Poshi ‘Dotnata’ waliambatana kwenda kuwajulia hali mastaa hao ambao wapo nyuma ya nondo wakikabiliwa na kesi tofauti. 


Imeelezwa kuwa Lulu na Kajala walifarijika kuwaona mastaa hao ambapo waliwaombea kwa Mungu ili kesi zao ziende haraka waweze kurudi uraiani.
TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DOMO LANGU - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger