Ungana nasi kwa kuandika email yako hapa ili upate habari mpya kupitia email yako bila usumbufu:


Home » , » AUNT EZEKIEL YUKO MBIONI KUFUNGASHA VIRAGO NA KUMFUATA MUMEWE DUBAI

AUNT EZEKIEL YUKO MBIONI KUFUNGASHA VIRAGO NA KUMFUATA MUMEWE DUBAI

tangazo

MSANII kutoka kiwanda cha filamu Bongo, Aunt Ezekiel amefunguka kuwa ana mpango wa kutimka Bongo siku chache zijazo na kumfuata mumewe, Sunday Demonte anayeishi Dubai.


Akiongea na mwandishi wetu, Aunt alisema baada ya kufunga ndoa alikaa Dubai kwa muda mchache na kurudi Bongo kwa ajili ya kuweka mambo yake sawa na akimaliza atarudi kwa mumewe na atakuwa anakuja kwa ajili ya kucheza muvi tu.


“Mimi sasa nimeshakuwa mke wa mtu hivyo ni lazima niwe karibu na mume wangu na ndiyo maana nimekuja kuweka mambo yangu sawa nikimaliza namfuata, Bongo nitakuja kwa msimu tu,” alisema Aunt.
TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DOMO LANGU - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger