Ungana nasi kwa kuandika email yako hapa ili upate habari mpya kupitia email yako bila usumbufu:


Home » , » JOHN KITIME AUKEJELI UCHUMBA WA "JOKATE MWEGELO" NA KUDAI KUWA UMEVUNJA SHERIA NAMBA 6 YA 1956 YA "UCHUMBALIZATION ACT"

JOHN KITIME AUKEJELI UCHUMBA WA "JOKATE MWEGELO" NA KUDAI KUWA UMEVUNJA SHERIA NAMBA 6 YA 1956 YA "UCHUMBALIZATION ACT"

tangazo

SIKU chache baada ya kuwepo kwa madai kuwa modo ambaye pia ni Miss Tanzania namba 2, 2006, Jokate Mwegelo amechumbiwa, mwanamuziki mkongwe John Kitime (picha ndogo) ameingiza utani kwenye jambo hilo kwa kumlaumu kulifanya kuwa la siri kama kweli lipo.

Kupitia blog yake mzee Kitime aliandika hivi: “Mimi na Watanzania wenzangu tumepata mshtuko baada ya kusoma habari hii. Mpaka sasa tunajiuliza ‘why Jokate Why?’ 

 
“Wewe unaelewa taratibu kuwa mtu anapotaka kuchumbiwa huwa haifanywi siri.


“Jambo la kwanza unaenda kwa afisa utamaduni kuomba kibali ambacho unatakiwa kukipitisha vituo vya polisi vya jirani kisha kibali hicho kupigwa mhuri na katibu mtendaji wa kata unayotegemewa kuchumbiwa na hatimaye kupitia kwangu Afisa Vibali vya Kuchumbiwa, ambapo nitaita Press Conference kutangaza uchumba. Umevunja sheria namba 6 ya 1956 ya Uchumbalization Act...”
TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DOMO LANGU - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger