Ungana nasi kwa kuandika email yako hapa ili upate habari mpya kupitia email yako bila usumbufu:


Home » » BRITISH AIRWAYS YASITISHA SAFARI ZA DA ES SALAAM

BRITISH AIRWAYS YASITISHA SAFARI ZA DA ES SALAAM

tangazo


Baada ya miongo minne ya kutoa huduma nchini Tanzania, hatimaye shirika la ndege la British Airways limeamua kusitisha safari zake za kuja nchini kwa madai kuwa ilikuwa ikipata hasara.


Maelezo kutoka kwa shirika hilo yalisema, “”Dar es Salaam was not performing well from a commercial perspective so we have taken the decision to suspend the route.”

Kwa mujibu wa maelezo hayo, abiria waliokuwa wamebook kusafiri kabla ya March 31 watarudishiwa fedha zao ama kuhamishiwa kwenye ndege zinazoishia Nairobi, Entebbe ama Lusaka.

Uamuzi huo unadaiwa kuwa utaathiri uchumi wa Tanzania kwa namna nyingi ikiwa pamoja na kupungua kwa watalii kutoka nchini Uingereza na mambo mengine
TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DOMO LANGU - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger