Ungana nasi kwa kuandika email yako hapa ili upate habari mpya kupitia email yako bila usumbufu:


Home » , » MREMBO AMWAGIWA MAJI YA MOTO BAADA YA KUFUMANIWA NA MPENZI WA RAFIKI YAKE....

MREMBO AMWAGIWA MAJI YA MOTO BAADA YA KUFUMANIWA NA MPENZI WA RAFIKI YAKE....

tangazo

Binti  mmoja  aliyejulikana  kwa  jina moja la Winfride  amejikuta akiuga  vibaya  mwaka  baada  ya  kumagiwa maji ya moto  na rafiki yake  wa kike.......

Ugomvi  huo ulizuka baada  ya huyo rafiki  yake  kumfuma  mara kadhaa  Winfride  akila bata  na  BOYFRIEND  wake.....

Hakika  mapenzi ni unyama.......Ni imani yetu kuwa sheria itatenda haki  kwa Winfride
TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DOMO LANGU - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger