Ungana nasi kwa kuandika email yako hapa ili upate habari mpya kupitia email yako bila usumbufu:


Home » , » PICHA YA ASKARI ALIYEPIGA PICHA NA WANACHAMA WA CCM MOROGORO YALETA UTATA

PICHA YA ASKARI ALIYEPIGA PICHA NA WANACHAMA WA CCM MOROGORO YALETA UTATA

tangazo



Ikiwa unafuatilia siasa za Tanzania, picha hii inalinganishwa na ile ya aliyejiita askari wa JWTZ kupiga picha na baadhi viongozi wa CHADEMA na hatima yake ikawa ni kifungo jela.

Maafande wa doria wanaotumia pikipiki wakizungumza na baadhi ya wanachma wa CCM wa kata ya Mji Mpya. Wanachama hao walivamia ofisi kuu ya kata na kuwatimua ofisini viongozi wao na baadae kufungua milango wakiwashutumu kwa mambo mbali mbali ikiwemo la ufisadi.


Picha na: dustanshekidele.blogspot.com
TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DOMO LANGU - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger