Ungana nasi kwa kuandika email yako hapa ili upate habari mpya kupitia email yako bila usumbufu:


Home » » VIDEO: POLISI JIJINI MWANZA YATUMIA MABOMU NA RISASI ZA MOTO KUWATAWANYA WAENDESHA PIKIPIKI

VIDEO: POLISI JIJINI MWANZA YATUMIA MABOMU NA RISASI ZA MOTO KUWATAWANYA WAENDESHA PIKIPIKI

tangazo

Askari wa kikosi cha kutuliza ghasia - FFU mkoani Mwanza jana asubuhi wamelazimika kutumia mabomu ya machozi, risasi za moto pamoja na kutembeza mkong'oto kwa waendesha pikipiki, maarufu kama bodaboda wa jiji la Mwanza ambao walikuwa wakipambana na askari wa kikosi cha usalama barabarani wakipinga kukamatwa kwa pikipiki zao, katika operesheni iliyoendeshwa na jeshi la polisi mkoani humo.

HII  NI VIDEO YA  ITV  IKIRIPOTI.... 

TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DOMO LANGU - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger