Ungana nasi kwa kuandika email yako hapa ili upate habari mpya kupitia email yako bila usumbufu:


Home » , , » "BABY WANGU ANADEKA SANA JAMANI.....YAANI WASIOPENDA PENZI LETU IMEKULA KWAO"...AMANDA

"BABY WANGU ANADEKA SANA JAMANI.....YAANI WASIOPENDA PENZI LETU IMEKULA KWAO"...AMANDA

tangazo

STAA wa filamu Bongo, Tamrina Poshi ‘Amanda’ amefunguka kuwa kipenzi chake, Emmannuel Rushau ‘Bwana Misosi’ anapenda kudeka pindi wanapokuwa viwanja.


Akiongea  kwa mbwembwe namwandishi wetu katika Viwanja vya Leaders Club hivi karibuni, Amanda aliweka wazi kuwa mpenzi wake huyo amekuwa na tabia hiyo hali ambayo inaleta maswali mengi kwa wasiolipenda penzi lao.


“Jamani Baby wangu naye anadeka... hebu tazama sasa hivi alivyonilalia, majungu yataanza sasa hivi. Lakini nilikuwa nikiomba faraja, sasa nimeipata nashukuru,” alisema Amanda.
TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DOMO LANGU - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger