MADARAJA MAPYA YA KUFAULU KWA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE
tangazo
Serikali
kwa kupitia wizara ya elimu imefanya mabadiliko kwenye madaraja ya
alama za mitihani ya kidato cha nne. Hapo awali, madaraja yalikuwa ni
kama ifuatavyo:
A = 81%-100%
B = 61%-80%
C = 41%-60%
D = 21%-40%
F = 0%-20%
Mabadiliko mapya yamefanywa na sasa madaraja MAPYA ni kama ifuatavyo:
A = 80%-100%
B = 65%-79%
C = 50%-64%
D = 35%-49%
F = 0%-34%
Taarifa imetolewa mapema ili wanafunzi kwa kidato cha nne waanze kujiandaa vyema na mitihani ijayo.
TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK