Home »
habari za kitaifa
» BREAKING NEWS: HALI NI MBAYA HUKO TUNDUMA....MABOMU KILA MAHALI NA WATU WAMEAMRIWA WASITOKE NJE
BREAKING NEWS: HALI NI MBAYA HUKO TUNDUMA....MABOMU KILA MAHALI NA WATU WAMEAMRIWA WASITOKE NJE
tangazo
Masaa
takribani matano mabomu ya machozi na risasi za moto zinasikika mataili
yamechomwa barabarani maduka yote yamefungwa...
Ni mshikemshike kati ya
vyombo vya dola na raia hadi sasa msikiti mmoja umechomwa moto maeneo ya
mwaka na kisimani
Hali ni mbaya zaidi kwan mabomu ya mochozi yanapigwa
hadi vyumbani.
Imetollewa amri watu wote walale majumbani kwao
Chanzo cha tatizo ni waislam na wakristo.Wametofautiana juu ya swala la kuchinja.
TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK