Ungana nasi kwa kuandika email yako hapa ili upate habari mpya kupitia email yako bila usumbufu:


Home » » HACKERS WAIBOMOA WEBSITE YA CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM -( UDSM ) NA KUUJAZA MATANGAZO YA NGONO

HACKERS WAIBOMOA WEBSITE YA CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM -( UDSM ) NA KUUJAZA MATANGAZO YA NGONO

tangazo
Leo  mchana, mtandao  wa  chuo  kikuu  cha  Dar es salaam  uliingiliwa  na  mahackers  na  kujazwa  matangazo  ya  ngono.....

Matangazo  hayo  machafu  yalikuwa  yamewekwa Chini ya picha ya mkandala kwenye welcoming note ya vice chancelor......

MWONEKANO  WA  MCHANA


Mpaka  saa  tano  usiku  mtandao  huo   wa  chuo  maarufu   haukuwa  hewani .....(  www.udsm.ac.tz/ )

MWONEKANO  WA  MIDA  HIYO

 UPDATE:
Kwa  sasa  mtandao  huo uko  hewani  tena
TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DOMO LANGU - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger