Ungana nasi kwa kuandika email yako hapa ili upate habari mpya kupitia email yako bila usumbufu:


Home » » JE NI SAHIHI KWA MTOTO WA KIKE KUTOKA NYUMBANI NA KWENDA KUPANGA?

JE NI SAHIHI KWA MTOTO WA KIKE KUTOKA NYUMBANI NA KWENDA KUPANGA?

tangazo

Heshima kwenu wadau,sasa hivi kuna trend kubwa ya wasichana ambao kidogo unakuta wamejaaliwa kupata walau kipato cha kawaida tu na kuamua kutoka nyumbani kwao kwenda kupanga chumba.....
 
Je hili mnalionajae liko sawa au sio sawa?....
 
Wazazi  wengine  wanaamini  kuwa    hata kama binti  amejaaliwa kupata kazi basi akae kwao mpaka mungu atakapojaalia kumpa mwenza wa ndoa....

Unasemaje  kaka, dada, mjomba, baba au  mama  juu  ya  hili???

Udaku speshially
TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DOMO LANGU - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger