Home »
habari za kitaifa
» UPDATE : HALI BADO NI MBAYA HUKO TUNDUMA...WAKRISTO WANAWAPIGA HATA WATOTO WADOGO WENYE HIJABU....MCHUNGAJI KAUMIZWA
UPDATE : HALI BADO NI MBAYA HUKO TUNDUMA...WAKRISTO WANAWAPIGA HATA WATOTO WADOGO WENYE HIJABU....MCHUNGAJI KAUMIZWA
tangazo
Habari za za hivi punde toka kwa mdau aliyeko Tunduma mkoani Mbeya
zinaeleza kuwa hali bado ni mbaya na watu wamejifungia ndani....
ndugu waislam nao wamenza kulipiza kisasi .
Mchungaji mmoja anaripotiwa kuwa na hali mbaya baada ya kupigwa sana....
Wakristo nao
wanawapiga hata watoto waliovaa hijabu toka shuleni ....
Viongozi wa serikali
wote wapo Tunduma. hali ni mbaya FFU wamezagaa mtaani wakiona mko zaidi ya
watu wawili mnapigwa bomu, ....
Hadi sasa ile sehemu ambayo ina watu muda
wote hakuna hata mdudu barabara zote kuu zimejaa maaskali.
Kama hujanunua
mahitaji ya nyumbani leo unalala njaa
TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK