Ungana nasi kwa kuandika email yako hapa ili upate habari mpya kupitia email yako bila usumbufu:


Home » » RAIA WA SAUD ARABIA WANNE NA WATANZANIA WAWILI WAMEKAMATWA KUHUSIANA NA MLIPUKO WA BOMU -ARUSHA

RAIA WA SAUD ARABIA WANNE NA WATANZANIA WAWILI WAMEKAMATWA KUHUSIANA NA MLIPUKO WA BOMU -ARUSHA

tangazo
 Vyombo vinavyohusika vimewakama watu sita, ikiwemo raia wanne wa Saudi Arabia, kwa kuhusika na shambulizi la bomu lililoua watu watatu na kujeruhi makumi katika kanisa Katoliki la Olasiti, Arusha
 
Rais Kikwete ameliita tukio hilo “tendo la kigaidi”...
Mkuu wa mkoa wa Arusha, Magesa Mulongo, amethibitisha kuwa watu sita wamekamatwa, ambapo kati yao wawili ni Watanzania, na Wanne ni Wasaudi


“Uchunguzi bado unaendelea,” alisema RC Mulongo, na kuongeza kuwa Wasaudi hao waliwasili Arusha Airport siku ya Jumamosi.

Aliongeza kuwa Watanzania wawili waliokamatwa ni Wakristo. Hakutoa maelezo zaidi


Mlipuko ulitokea nje ya kanisa Katoliki la Mtakatifu Joseph, Arusha

Imetafsiriwa kutoka Al-Jazeera

TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DOMO LANGU - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger