Ungana nasi kwa kuandika email yako hapa ili upate habari mpya kupitia email yako bila usumbufu:


Home » , , » "SIJAWAHI MVULIA NGUO MWANA FA"...HUSNA

"SIJAWAHI MVULIA NGUO MWANA FA"...HUSNA

tangazo


MISS Sinza 2011, Husna Maulid, juzikati ameibuka na kudai kwamba katika maisha yake hajawahi kutoa penzi kwa msanii wa muziki wa Kizazi Kipya, Hamis Mwijuma ‘Mwana FA’.

Husna aliyasema hayo Mei 15 mwaka huu baada ya kuvumishiwa kuwa anatoka kimapenzi na staa huyo na kwamba, kwa sasa hakuna kificho chochote kwani hadi picha zinazowaonyesha ukaribu wao zimezagaa kwenye mtandao.

“Sijawahi kutoka na Mwana FA, zaidi ya kufanya naye tangazo ambalo niliombwa na dada’ngu, Mboni Masimba nikafanye naye kwa ajili ya shoo ambayo anaiandaa hivi karibuni, wanaonihusisha na mapenzi na Mwana FA hawanitendei haki hata kidogo maana sijawahi hata kuwa na wazo naye,” alisema Husna Maulid.
TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DOMO LANGU - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger