Home »
habari za kitaifa
» BREAKING NEWS: ARUSHA KWACHAFUKA TENA.....MABOMU YA MACHOZI YATUMIKA KUWATAWANYA WANANCHI
BREAKING NEWS: ARUSHA KWACHAFUKA TENA.....MABOMU YA MACHOZI YATUMIKA KUWATAWANYA WANANCHI
tangazo
Hali kutoka mkoani si nzuri...mabomu ya machozi yanapigwa kuwatawanya wananchi waliojitokeza kuiaga miili ya wananchi waliofariki katika mlipuko wa bomu...
Hivi sasa polisi wanapiga mabomu ya machozi kuwatawanya wafuasi wa CHADEMA
waliofurika katika uwanja wa Soweto Mjini Arusha ulipotokea mlipuko wa
bomu Jumamosi kuomboleza ambapo polisi inasema mkusanyiko huo si halali
Taarifa toka mkoani humo zinadai kuwa gari
la mh. Lissu liteketezwa vibaya kwa bomu.
TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK