MAKAHABA WANAOJIUZA SINZA WATIWA MBARONI NA MGAMBO WA JIJI
tangazo
Mgambo
wa jiji la Dar es Salaam wakiwa katika zoezi la kuwakamata akinadada
wanaofanya biashara ya kuuza miili yao maarufu kama Machangudoa
katika eneo la Sinza.
Picha hizi ( juu) zinaonesha namna walivyokuwa
wakipakiwa ndani ya Gari tayari kwa kupelekwa katika vyombo vya sheria
TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK