Ungana nasi kwa kuandika email yako hapa ili upate habari mpya kupitia email yako bila usumbufu:


Home » , » VIDEO: MWANAMKE ABAKWA NA KUZIKWA AKIWA MZIMA...POLISI WAMFUKUA NA KUKUTA AMEKWISHAFARIKI

VIDEO: MWANAMKE ABAKWA NA KUZIKWA AKIWA MZIMA...POLISI WAMFUKUA NA KUKUTA AMEKWISHAFARIKI

tangazo
Matukio ya kikatili  yameendelea  kutikisa nchini Nigeria  baada ya mwanamke  mmoja  kubakwa  na  kuzikwa  akiwa  mzima....

Taarifa  toka  katika mitandao ya kinigeria zinadai kuwa mwanamke huyo alibakwa  na kisha wabakaji wakamfunga miguu na mikono.....
Zoezi la  kumfukua likiendelea.....
   
Mwili wa dada huyo ukifukuliwa
  
Mwili umekwisha fukuliwa, bahati mbaya dada huyo amekwisha fariki....

 Baada ya kumfunga,Mashetani hao walichimba shimbo porini walikotekeleza unyama huo na kisha kumzika akiwa hai ili kuficha ushahidi.....

Jeshi la polisi nchini humo lilifanikiwa kuipata habari hiyo masaa 12 baada ya mwanamke huyo kuzikwa akiwa hai....

Zoezi la kumfukua dada huyo lilianza, lakini bahati mbaya dada huyo alikuwa  amekwisha fariki 

Ifuatayo ni  video ya tukio hilo....KAMA HUNA MOYO WA KIJASIRI USIANGALIE 
TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DOMO LANGU - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger