Ungana nasi kwa kuandika email yako hapa ili upate habari mpya kupitia email yako bila usumbufu:


Home » » BASI LA NAJMUNISA LAPATA AJALI NA KUUA WANNE DODOMA

BASI LA NAJMUNISA LAPATA AJALI NA KUUA WANNE DODOMA

tangazo

Basi la Najmunisa linalofanya safari zake kati ya mikoa ya Dar es Salaam na Mwanza limepata ajali katika eneo la Mbande mkoani Dodoma na kuua watu wanne huku likiacha majeruhi kadhaa.

Basi hilo lililokuwa linaelekea Mwanza lilipata ajali hiyo baada ya kupasuka tairi la mbele.

Mali za abiria inaelezwa zipo salama kutokana na uwepo wa Check Point ya polisi jirani na eneo la ajali.



TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DOMO LANGU - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger