Ungana nasi kwa kuandika email yako hapa ili upate habari mpya kupitia email yako bila usumbufu:


Home » » BEYONCE AUMBUKA BAADA YA NYWELE ZAKE KUNASWA NA FENI AKIWA KATIKA SHOW HUKO CANADA

BEYONCE AUMBUKA BAADA YA NYWELE ZAKE KUNASWA NA FENI AKIWA KATIKA SHOW HUKO CANADA

tangazo

Jumatatu usiku (July 22) Beyonce alikuwa na show huko Montreal, Canada...

Wakati anaimba wimbo wake wa ‘Hallo’ ghafla  nywele zake zikanaswa na feni iliyokuwa nyuma yake jukwaani hapo, nina uhakika kwa msanii mwingine angeweza hata kupoteza mwelekeo na huenda ingemharibia show..


Lakini uzoefu na kujiamini vilimsaidia Bey mama wa mtoto mmoja (Blue Ivy) ambaye hakutetereka na aliendelea kuimba bila hata kupoteza mstari wala kutoka nje ya beat (Ki professional zaidi). 


Bey alisimama kwa muda huku wasaidizi wake wakijaribu kukata sehemu ndogo ya nywele zake na mkasi ili aweze kuwa huru na kuendelea na show. Zoezi lilifanikiwa na kipenzi cha Jigga aliendeleza makamuzi.
TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DOMO LANGU - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger