Mheshimiwa SUGU anasakwa na polisi kwa kosa la kuwakashifu walinzi wa Bunge
tangazo
Taarifa
kutoka Dodoma zinadai kuwa kuna Askari mmoja ambaye ni miongoni mwa
walinzi wa Bunge ameenda kufungua faili Polisi Dodoma na kusema kuwa
ametishiwa kupigwa na Mbunge Sugu...
Baada ya kufungua Jalada hilo polisi
wamechukua Difenda 6 na wameingia mitaani kumtafuta ili awekwe ndani
mpaka kesho ndio afikishwe mahakamani asubuhi.
Credit:Jf
TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK