Ungana nasi kwa kuandika email yako hapa ili upate habari mpya kupitia email yako bila usumbufu:


Home » » KILA MTU ANAHAKI YA KUPENDA...." NATAFUTA MPENZI WA KIUME ILI AWE MUME WANGU BAADAE"

KILA MTU ANAHAKI YA KUPENDA...." NATAFUTA MPENZI WA KIUME ILI AWE MUME WANGU BAADAE"

tangazo

Huu  ni  mkusanyiko  wa  maombi  ya  wadau  wanaosaka  wapenzi  na  wake  au  waume....

Ili  kurahisisha  zoezi  hili, kuna  forum imeanzishwa  (MZALENDO FORUM ) ambako  maombi  yote  yamewekwa  huko.....

Hiyo  ni  sehemu  maalum  ya  kumtafuta  umpendaye...Jiachie  kwa  kadri ya  uwezo  wako  na  mungu  atakupa  chaguo  lako....
-----------------------------

OMBI LA KWANZA
natafuta rafiki wa kiume awe mwisilam awe umri kuanzia miaka 26_30 awe anajishughulisha na kazi .awe msikivu mwenye mapenzi ya dhati pia mrefu
.piga namba hiyo 0688767421 utajibiwa.



OMBI LA PILI:
halila mohamed
Umri wa anayemtafuta 26-32
Anatafuta Mchumba
Jinsia anayoitaka Mvulana.
Anapenda kuwa na uhusiano na mtu mweye sifa zifuatazo AWE AMESOMA ELIMU YAKE ANGALAU AWE AMEFIKA FORM SIX, PIA AWE NI MFANYAKAZI AU AWE MFANYABIASHARA.
 

PIA NAPENDA AWE NI MCHA MUNGU NA AWE NI MKRISTO NA AWE NI MCHA MUNBGU
Wasifu wake na vitu anavyopenda: ELIMU YANGU CHUO KIKUU TUNGUU BADO SIJAMALIZA NIKO MWAKA WA TATU
Nchi anayoishi sasa zanzibar
Email halila@yahoo.com
Simu yake 0777035124

Sababu ya kutafuta ni KUFUNGA NAE NDOA

--------------------------

KWA  MAOMBI  MENGINE  50, BOFYA  HAPO  CHINI

TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DOMO LANGU - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger