Ungana nasi kwa kuandika email yako hapa ili upate habari mpya kupitia email yako bila usumbufu:


Home » , » LADY JAYDEE NA JUMA NATURE WAJIPANGA KUTOA NGOMA YA PAMOJA

LADY JAYDEE NA JUMA NATURE WAJIPANGA KUTOA NGOMA YA PAMOJA

tangazo

Baada ya kumpa shavu The Heavy Weight MC Profesa Jay kwenye joto hasira, Lady JayDee a.k.a Anaconda anaendeleza utamaduni wa kuwapa mashavu wasanii wakongwe na wakali..hivi karibuni alirekodi wimbo na Q chilah, and guess Who’s next, ni Juma Kassim Nature Kiroboto.



Kupitia akauunti yake ya twitter Anaconda amewapa fans wake good news kuhusu ujio wa ngoma yake na Juma Nature, huku akitaka kujua kama wako tayari kuipokea. 
fans wengi waliipokea habari hiyo kwa shangwe lakini Jide aliwaeleza kuwa sio kwamba kila wimbo anaorekodi sasa hivi atauachia sasa hivi.



“Tunarekodi tu nyimbo ili ziwepo ila haimaanishi zote zitatoka kwa wakati mmoja zitapeana muda. Wakati ukipata hisia lazma uingie Studio.” Alitweet Lady JayDee.


Kwa upande mwingine Mkali huyo aliweka wazi kile kinachomnyima amani katika maisha yake ‘kimuziki’ kuwa ni kiu ya kufanya wimbo na malkia wa mipasho Khadija Kopa. 
Leotainment
TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DOMO LANGU - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger