Ungana nasi kwa kuandika email yako hapa ili upate habari mpya kupitia email yako bila usumbufu:


Home » » MTOTO WA MIEZI MINNE ATUPWA AKIWA HAI MAENEO YA BAMAGA

MTOTO WA MIEZI MINNE ATUPWA AKIWA HAI MAENEO YA BAMAGA

tangazo

Huyu ndiye malaika wa Mungu aliyetelekezwa maeneo ya bamaga nje ya chuo cha ustawi wa jamii karibu na TBC hapa akiwa amebebwa na mmoja wa mfanyakazi wa ITV baada ya wasamaria wema kumleta ITV...


Anayeonekana kwa nyuma ni mmoja wa vijana waliomuokota mtoto huyo

 Baadhi ya wafanyakazi wa ITV wakimshangaa mtoto aliyetupwa.
mchomeblog
TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DOMO LANGU - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger