Ungana nasi kwa kuandika email yako hapa ili upate habari mpya kupitia email yako bila usumbufu:


Home » , » WANASHERIA WA ETHIOPIA WAAPA KUMSHITAKI BETTY KWA KUFANYA NGONO NDANI YA JUMBA LA BIG BROTHER

WANASHERIA WA ETHIOPIA WAAPA KUMSHITAKI BETTY KWA KUFANYA NGONO NDANI YA JUMBA LA BIG BROTHER

tangazo

Wakati  baadhi ya  watanzania  wakifurahia  madudu  ya  washiriki  wetu  ndani  ya  jumba  la  Big Brother, wenzetu  wa  Ethiopia  wameanza  kuchukua  hatua  stahiki  dhidi  ya  mshiriki  wao  aliyekubali  kufanya  mapenzi  hadharani....

Kundi  la  wanashiria  toka Adds  Ababa  limetangaza  kuwa  kwa  sasa  lipo  katika  hatua  za  mwisho  za  kukamilisha  mashitaka  dhidi  ya  mshiriki  wa  mwaka  huu  ambaye  ni  Betty  alionekana  mara  kadhaa  akingonoka  na  Bolt  hadharani  kama  mbwa...!!!!

Big  Brother  siyo  shindano  la  kungonoka  na  kuoneshana  ujuzi  wa  tendo  la  ndoa.....Hili  ni  funzo  kwa  washiriki  wetu  Feza  na  Nando


TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DOMO LANGU - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger