Ungana nasi kwa kuandika email yako hapa ili upate habari mpya kupitia email yako bila usumbufu:


Home » » VIDEO YA MTOTO WA MIAKA 14 ALIYEJIFUNGUA MAPACHA WATATU....

VIDEO YA MTOTO WA MIAKA 14 ALIYEJIFUNGUA MAPACHA WATATU....

tangazo

Kwa kawaida miaka 14 inafaa kuwa ndio unafurahia ujana na utoto wako.

 Lakini sivyo kwa msichana mmoja huko Bungoma, ambaye sasa ni mzazi, na si wa mtoto mmoja, bali watoto watatu, aliojifungua kwa pamoja. 

Msichana huyo mdogo anasema alipewa ujauzito huo na kijana wa umri wa miaka kumi na sita, na kama anavyiripoti Agnes Penda ni taarifa ambayo inaongeza tu idadi ya visa vya wasichana wadogo kupata uja uzito wa mapema na matokeo, kurudisha nyuma maendeleo ya watoto wa kike. 

Tazama  video  hapo  chini....

TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DOMO LANGU - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger