Ungana nasi kwa kuandika email yako hapa ili upate habari mpya kupitia email yako bila usumbufu:


Home » » WAPENZI WAJIRUSHA MBELE YA TRENI NA KUFARIKI DUNIA BAADA YA MAMA WA BINTI KUGOMA WASIOANE

WAPENZI WAJIRUSHA MBELE YA TRENI NA KUFARIKI DUNIA BAADA YA MAMA WA BINTI KUGOMA WASIOANE

tangazo

Binti mdogo mwenye miaka 21 na mpenzi wake mwenye miaka 25, wameamua kukatisha maisha yao na kuacha note yenye maneno “Two great people are going to paradise”.

Kisa chote hiki kinatokana na mama wa binti Ariana O’Neal kukataa mapenzi ya hawa wawili.


David na Ariana walikuwa wanaishi jijini New York, katika mapenzi yao waliwai pia kukamatwa na polisi kwa kuhusuka na wizi wa vito kutoka kwenye duka la kuuza vito.
TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DOMO LANGU - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger