Ungana nasi kwa kuandika email yako hapa ili upate habari mpya kupitia email yako bila usumbufu:


Home » » DIVA WA CLOUDS FM AMTIBUA TENA ZITTO KABWE.

DIVA WA CLOUDS FM AMTIBUA TENA ZITTO KABWE.

tangazo
MTANGAZAJI wa Kipindi cha Ala za Roho cha Clouds FM, Loveness  Malinzi ‘Diva’ amesema alichokuwa anahitaji katika sakata lake la kudai ameibiwa ‘idea’ ya Kigoma All Star East Africa Tour na Mhe. Zitto Kabwe ni kupewa heshima yake (appreciation) tu.

Katika maelezo yake, Diva amefunguka kuwa walijadili na Zitto kuhusu idea hiyo lakini badala yake akashangaa mheshimiwa anampotezea katika utekelezaji kitu ambacho anadai siyo haki..
 

“Angalau basi angenitaja kama kunishukuru kwa kutoa mchango wangu katika Kigoma All Star Tour lakini hakufanya hivyo na hata nilipomsisitiza aliniletea siasa,” alisema Diva.

TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DOMO LANGU - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger