Ungana nasi kwa kuandika email yako hapa ili upate habari mpya kupitia email yako bila usumbufu:


Home » » JOHARI na CHUCHU HANS WAPIGANA HADHARANI KISA PENZI LA RAY ( Vicent Kigosi)

JOHARI na CHUCHU HANS WAPIGANA HADHARANI KISA PENZI LA RAY ( Vicent Kigosi)

tangazo

Kuna habari  ambazo zilianza kusambaa mitandaoni jana  kuwa mastaa wa filamu nchini Chuchu Hans na Blandina Chagula(Johari) wamefumaniana kisa ni muigizaji mwenzao Vicent Kigosi(Ray). 

Inadaiwa kuwa Johari ndiye amemfumania Chuchu nyumbani kwa Ray maeneo ya Sinza, Dar es salaam na wawili hao kuanza kufumuana makonde na baadaye Ray kuwahi kuwaamulia kabla mambo hayajaharibika zaidi. 

Habari za chumbani  zinaarifu  kuwa Johari na Ray ni wapenzi lakini kwa muda mrefu  wamekuwa  wakijicha  kukwepa  kuanikwa  magazetini.

Tunaendelea  kuifuatilia  habari hii...
TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DOMO LANGU - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger