Ungana nasi kwa kuandika email yako hapa ili upate habari mpya kupitia email yako bila usumbufu:


Home » » Mimba yaiharibu sura ya Rose Ndauka baada ya uso wake kuvimba kila mahali

Mimba yaiharibu sura ya Rose Ndauka baada ya uso wake kuvimba kila mahali

tangazo

Mwanamke mjamzito hatambuliki kwa tumbo lake tu, bali hata usoni. Miongoni mwa mabadiliko anayoanza kuyapata mwanamke awapo na ujauzito ni uso wake kuvimba hasa sehemu ya pua.
 
Hali hii ndio iliyoanza kumtokea, staa wa filamu nchini, Rose Ndauka ambaye ni mjamzito wa miezi kadhaa.
Akiweka picha aliyopiga na mchumba wake, Malick Bandawe aka Chiwaman wa kundi la TNG Squad kwenye Instagram, Ndauka ameandika:
 
“Unanafasi nyingi sana kwenye maisha yangu mwenyezi mungu akupe umri mrefu na afya tele @don_chiwaman ...nakupenda sana hubby wangu.”
TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DOMO LANGU - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger