Ungana nasi kwa kuandika email yako hapa ili upate habari mpya kupitia email yako bila usumbufu:


Home » » Ray C asherehekea mwaka mmoja wa kuacha kuvuta bangi na madawa mengine ya kulevya.

Ray C asherehekea mwaka mmoja wa kuacha kuvuta bangi na madawa mengine ya kulevya.

tangazo
 
SEXY lady wa Bongo Fleva, Rehema Chalamila ‘Ray C’ amesheherekea mwaka mmoja na wenzake tangu alipoacha kutumia madawa ya kulevya ‘unga’.
Ray C akisherehekea na wenzake.
Wikiendi iliyopita Ray C alitupia picha kwenye ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa Instagram zilizomuonesha akiwa na wenzake katika Hospitali ya Mwananyamala, Dar ambako huwa wanapata dozi ya madawa ya kulevya.
...Akizidi kuburudika baada ya kutimiza mwaka mmoja wa kuacha unga.
Aliandika: “Nawapenda sana hawa wenzangu wote, tuligundua tatizo tukasaidiwa na sasa tumepona na tunamshukuru Mungu...Tanzania bila madawa ya kulevya inawezekana.”
TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DOMO LANGU - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger