Ungana nasi kwa kuandika email yako hapa ili upate habari mpya kupitia email yako bila usumbufu:


Home » , » RIHANNA AUNGANA NA CHRISS BROWN ABDIJAN KWA AJILI YA KUSHUSHA BURUDANI KATIKA TUZO ZA KORA

RIHANNA AUNGANA NA CHRISS BROWN ABDIJAN KWA AJILI YA KUSHUSHA BURUDANI KATIKA TUZO ZA KORA

tangazo

Hii ni video  ya  chriss brown na  Rihanna  wakiwasili  Abdijan kwa  ajili  ya kutumbuiza  katika  tuzo  hizo.....

saida nn
Wasanii wa Tanzania waliotajwa kuwania tuzo hizo ni pamoja na Ali Kiba, (Dogo) Aslay na Saida Karoli.

Ali Kiba alitajwa kuwania kipengele cha Best Male East Africa kwa wimbo wake Single Boy aliomshirikisha Lady Jaydee ambapo anachuana na Jimmie Gait Feat Dk – Furi Furi Dance, Kenya,Kidum Feat Sana – Mulika Mwizi, Burundi, Redsan – Ila Wewe, Kenya, Chris D – Aisha, Burundi na Mulatu Astatke – Ethiopie, Ethiopia.

Aslay alitajwa kwenye kipengele cha Best Male Newcomer na wimbo wake Niwe Nawe akipambana na Floby – Saanida, Burkina Faso, Loyiso – Wrong To You, Afrique Du Sud, Aziz Azion – My Oxygen, Uganda, Davido – Dami Duro, Nigeria, John Chiti – Wapusuku, Zambie.

Naye Saida Karoli anawania kipengele cha Best Female East Africa kwa wimbo wake Sakina ambapo anachuana na Juliana Kanyomozi – I Am Ugandan, Marya – Shiki Simu, Kenya, Helen Berhe – Lebe, Ethiopia, Asther Aweke – Lu Mili, Ethiopia na Ikraan Caraale – Gaarsiiya, Somalia.

TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DOMO LANGU - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger