Ungana nasi kwa kuandika email yako hapa ili upate habari mpya kupitia email yako bila usumbufu:


Home » » RIPOTI FUPI YA MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI- TANZANIA

RIPOTI FUPI YA MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI- TANZANIA

tangazo

Matokeo rasmi ya sensa yametoka. Idadi ya Watanzania ni milioni arobaini na nne nukta tisa. (44.9million).


Matokeo hayo yametangazwa leo katika viwanja vya Mnazimmoja jijini Dar es Salaam katika uzinduzi wa matokeo ya sensa ya watu na makazi ya mwaka 2012.

Jumla: 44,929,002. TZ Bara 43,625,434 na Zanzibar 1,303,568
TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DOMO LANGU - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger