Ungana nasi kwa kuandika email yako hapa ili upate habari mpya kupitia email yako bila usumbufu:


Home » , » DIAMOND AFUNGUKA KUHUSU SKENDO YA KUYAANIKA MAKALIO YAKE....

DIAMOND AFUNGUKA KUHUSU SKENDO YA KUYAANIKA MAKALIO YAKE....

tangazo

HUU  NDO UTETEZI  WA  DIAMOND  KUHUSU SAKATA LA KUVUA NGUO HADHARANI......

"Watu wengi waliipokea show hii tofauti kabisa  na vile ilivyokuwa imekusudiwa...kipengele cha kuvua Boxer ni kipengele ambacho kilifanyiwa mazoezi kikiwa katika sehemu ya show tuliyokuwa tumeiandaa kuifanya siku hiyo ya Fiesta 2012 na sio kama tulifanya tu bila kukusudia.....

Lakini mashabiki waliipokea show hii tofauti kabisa me naamini ilitokana na ubunifu ambao hawakuwai kuutegemea kwa msanii yeyote yule pia ilikuwa ni surprise kwa mashabiki wangu.....Lakini sio vitu vigeni kabisa ukiangalia hata nje wanafanya show za aina hii tena pengine ni zaidi ya hii."....DIAMOND
TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DOMO LANGU - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger