Ungana nasi kwa kuandika email yako hapa ili upate habari mpya kupitia email yako bila usumbufu:


Home » , » SAKATA LA MWANAMKE ALIYEVUA NGUO NA KUCHEZA UCHI NDANI YA UWANJA WA MPIRA

SAKATA LA MWANAMKE ALIYEVUA NGUO NA KUCHEZA UCHI NDANI YA UWANJA WA MPIRA

tangazo

KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida wapenzi wa mpira waliofika kuangalia mechi kati ya (Pirates vs Chiefs ) huko nchini Afrika Kusini walipata kuona kioja cha mwaka pale waliposhuhudia Dada mmoja akivua nguo na kubaki na chupi kisha kuanza kucheza mbele ya wanaume bila kuona aibu mbele ya umati wa watu.....

Sakata hilo lilichukua  sura mpya baada  ya wanaume kutaka kumparamia  kwa lengo  la kumbaka.

Askari  polisi  walisaidia  kuzima timbwili  hilo  kwa kumchukua na kumuondoa mwanamke  huyo  ambaye inasemekana alikuwa  amelewa
TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DOMO LANGU - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger