Ungana nasi kwa kuandika email yako hapa ili upate habari mpya kupitia email yako bila usumbufu:


Home » , » JOSEPH MBILINYI ( MBUNGE WA MBEYA) IJUMAA ATAKUWA MGENI RASIMI KATIKA UFUNGUZI WA INTERNET CAFE YA IZZO B

JOSEPH MBILINYI ( MBUNGE WA MBEYA) IJUMAA ATAKUWA MGENI RASIMI KATIKA UFUNGUZI WA INTERNET CAFE YA IZZO B

tangazo


Mbunge wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi aka Sugu kesho anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye uzinduzi wa internet cafe ya rapper Emmanuel ‘Izzo B’ Simwinga.


Ofisi hiyo iitwayo Izzo Bizness Internet Cafe & Secretarial Bureau ipo TEKU University jijini Mbeya.

Akiongea na mtandao huu , Izzo amesema katika uzinduzi huo utakaoanza saa 8 mchana hakutakuwa na performance yoyote bali watafungua champagne za kutosha.
photo(2)
photo


"Kesho mungu akisaidia ntafanya ufunguzi rasmi wa Internet cafe yangu iliyopo MBEYA chuo Cha Teofilo kisanji(TEKU) NA Mgeni rasmi atakuwa MH:Joseph mbilinyi mbunge wa mbeya...

Kama uko MBEYA na unataka kushuhudia uzinduzi wa ufunguzi wa Internet cafe yangu iliyopo chuo Cha teku MBEYA utakaofanywa na Mh: Joseph Mbilinyi mbunge wa MBEYA Mjini unaweza kuja hakuna kiingilio muda ni saa Nane Mchana...karibuni".....Izzo b
TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DOMO LANGU - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger