Ungana nasi kwa kuandika email yako hapa ili upate habari mpya kupitia email yako bila usumbufu:


Home » , , » "NILISHAURIWA NA MAMA YANGU KURUDI MACHOZI BAND"....MWINYI

"NILISHAURIWA NA MAMA YANGU KURUDI MACHOZI BAND"....MWINYI

tangazo

Kama unakumbuka siku zilizopita Lady Jaydee aliweka ujumbe katika ukurasa wa facebook na kuomba maoni kutoka kwa wananchi kuhusiana na Mwinyi,kurudi katika band yake,sasa leo Mwinyi ameeleza ukweli na kusema kwamba hakuwa na ndoto za kurudi katika band hiyo bali ni mama yake mzazi ndiye alimshauri na ndiyo maana ameweza kurudi tena kundini.
 
Hayo ndiyo maneno ya Mwinyi baada ya kuamua kuweka ukweli juu ya Machozi Band.
TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DOMO LANGU - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger