KIINGEREZA CHAMUUMBUA DIAMOND...MASHABIKI WAMPA MAKAVU
tangazo
Katika pitapita instagram kuna
picha ya msanii Diamond Platnumz alipost (hiyo hapo juu), na hapo wakatokea
watu kukosoa kingereza alichotumia huku wengine wakionekana kutetea.
JAMANI ENGLISH si Lugha yetu jamani. angalia hapa chini
TUPE MAONI YAKO KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.