FEZA WA TANZANIA ANUSURIKA KUYAAGA MASHINDANO YA BIG BROTHER...KOKETSO NA LK4 KWAHERI
tangazo
FEZA azidi kupeta mjengoni....
Mtanzania FEZA amenusurika kutoka katika jumba la biggie baada ya kuwa
up for possible eviction kufuatia kuwekwa kitanzini (nominated) Jumatatu
iliyopita...
Koketso mshiriki kutoka South Africa na LK4 ambaye ni
mshiriki kutoka Uganda wamekuwa washiriki wa tatu na wa nne kutoka
katika jumba la Big Brother Africa baada ya Denzel na Huddah kuyaaga
mashindano wiki iliyopita..
Hivi ndivyo walivyopigiwa kura na nchi tofauti :
Total: Hakeem = 6; Feza = 3; Dillish =3, Koketso = 2, LK4 = 1. (Total: 15 Votes)
TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK