Ungana nasi kwa kuandika email yako hapa ili upate habari mpya kupitia email yako bila usumbufu:


Home » » MTU MMOJA AFARIKI KATIKA AJALI YA GARI....DEREVA ATIMUA MBIO

MTU MMOJA AFARIKI KATIKA AJALI YA GARI....DEREVA ATIMUA MBIO

tangazo

Mtu mmoja amefariki dunia na waengine kumi kujeruhiwa vibaya baada ya gari walilokuwa wakisafiria aina ya Toyota Hiace lilikuwa linatoka Arusha kwenda Karatu kupasuka gurudumu la nyuma na kupinduka katika kijiji cha Silonga wilayani Monduli.

TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DOMO LANGU - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger