Ungana nasi kwa kuandika email yako hapa ili upate habari mpya kupitia email yako bila usumbufu:


Home » » FREEMAN MBOWE ATIWA MBARONI TENA

FREEMAN MBOWE ATIWA MBARONI TENA

tangazo

Mwenyekiti wa Taifa Chadema na Kiongozi wa upinzani bungeni Freeman Mbowe le amekamatwa na Jeshi la polisi nchini na kuwekwa chini ya ulinzi mkali  kwa takribani masaa matatu.

Taarifa zinadai kwamba, Mbowe alitiwa nguvuni na polisi  baada ya kuwatuhumu  kuhusika na mlipuko wa bomu la arusha katika mkutano wa CHADEMA.

Kuachiwa huru kwa Mbowe kumetokana na majadiliano ya kina kati ya polisi na mawakili wake ambao wa wamekubali  kujibu kwa maandishi ni kwa nini Mbowe aliwatuhumu polisi kwa mlipuko huo.

TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DOMO LANGU - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger