Ungana nasi kwa kuandika email yako hapa ili upate habari mpya kupitia email yako bila usumbufu:


Home » » Hawa ndo washindi wetu watatu waliojishindia VOCHA za buku buku kila mmoja

Hawa ndo washindi wetu watatu waliojishindia VOCHA za buku buku kila mmoja

tangazo
 
Leo  asubuhi  tulitoa swali  moja  la  kawaida  kwa  wasomaji  wetu  na  kuahidi  kutoa  zawadi  ya  vocha  ya  sh. 1000  kwa  mshindi  mmoja  wa  kwanza....

Swali  hilo liliambatanishwa  na picha  moja  ya  mdada  na  mkaka  wakiwa  kimahaba  na  kisha  kuhoji  ni  nani  KAJIKOJOLEA....

Katika  picha  hiyo, msomaji  alitakiwa  kuitazama  kwa  makini  na  kisha  kutoa  majibu  yake  kwa  njia  ya  maoni (comment) 

Wafuatao  ni  washindi wetu wa leo:
1.Zainab Othman- kupitia www. freebongo.blogspot.com

2.Nicholaus Luhindila- kupitia  www.mpekuzihuru.com

3. Irene Sozigwa- kupitia ukurasa wetu wa faceook ujulikanao kwa  jina la MPEKUZI BLOG

JINSI  YA  KUPATA  VOCHA  ZENU:
Ingia  katika  ukurasa  wetu  wa  facebook  na  kisha  tutumie  mtandao  unaotumia  ili  tukutumie  namba  za  vocha  yako ambayo utaingiza  mwenyewe.

Mfano: TIGO, AIRTEL  au VODACOM. 



Bofya  hapo  juu  na  kisha  tutumie  aina  ya  VOCHA  uitakayo ( hii  ni  kwa  ajili  ya  washindi  pekee)


TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DOMO LANGU - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger