tangazo

Simu ya kupapasa.
Watafiti wamebaini kuwa baadhi ya vifaa vya kisasa vya mawasiliano vinavyotumika kwa kupapasa kama tablet komputa na smart-phones huwa na vijidudu vingi vya uchafu kuliko hata choo.
Bakteria hao huachwa na watumiaji
wavifaa hivyo kwa kupapasa vioo vya vifaa kama Apple iPads na
Samsung Galaxy tablets kutokana na kutumia bila ya kuosha mikono.
Choo
Moja ya tablet iliyofanyiwa vipimo na
taasisi ya kulinda mtumiaji ya Which? ilikutwa na baktaria aina ya
staphylococcus aureus ambao hutoa sumu ambayo hupelekea mtu kutapika.
USHAURI:
Kuwa na smart phones ni sawa na kutembea na choo mkononi ( kwa mujibu wa utafiti huu) ...Tuwe waangalifu ili simu hizi zisiguswe na watoto wetu.