Ungana nasi kwa kuandika email yako hapa ili upate habari mpya kupitia email yako bila usumbufu:


Home » » Video na Picha mbalimbali toka msibani kwa msanii Nyawana Fundikira aliyefariki juzi kwa ugonjwa wa Malaria.

Video na Picha mbalimbali toka msibani kwa msanii Nyawana Fundikira aliyefariki juzi kwa ugonjwa wa Malaria.

tangazo
Marehemu Nyawana Fundikira enzi za uhai wake.





Vilio vimetawala ulipo msiba wa Nyawana Fundikira, maeneo ya Gongoni, Tabora mjini wakati waombolezaji walipokuwa  wakiusubiri   mwili wa aliyekuwa mwimbaji na mtangazaji wa kipindi cha taarab ‘Ambaa na Mwambao’ kinachorushwa na Passion Fm, Nyawana Fundikira  ulioanza  kusafirishwa  jana  toka  jijini  Dar es  Salaam  kuja  Tabora  kwa  maziko..

Nyawana alifariki juzi baada ya kusumbuliwa kwa muda mfupi na malaria na upungufu wa damu  ambapo ameacha mjane na watoto wawili.

Video ya  baadhi  waomboleza  waliofika  msibani.
 

-Video  kwa  hisani ya Aloyson
TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DOMO LANGU - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger